warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mwanamuziki mkongwe na aliyekuwa mume wa mtangazaji maarufu, Gardner G habash, Judith Wambura Mbibo aka Lady Jaydee, ameongea kwenye kipindi cha Power Jams kinachorushwa East Africa radio kwenye, mada iliyokuwa inazungumzia kuhusu baadhi ya wasanii wa Bongofleva, Hiphop na Rap kukosa tuzo ili hali wanafanya muziki mzuri.
"Sometimes kufanya muziki bila tuzo inavunja moyo " Alisema mwanamuziki huyo mkongwe mwenye tuzo zaidi ya 28 mpaka sasa.
"Sometimes kufanya muziki bila tuzo inavunja moyo " Alisema mwanamuziki huyo mkongwe mwenye tuzo zaidi ya 28 mpaka sasa.