Yeah......Lets wait and see,,tutajua
SUGU kishamalizana nao zamani,Mchimbi na Mbowe ndio walikuwa wasuluhishaji.dada wa watu ameamua kusamehe baada ya kuona sababishi haipo tena duniani, atamchukia nani sasa...si bora asamehe adharani kuwa hana kinyongo na mtu..maisha yaendelee. By the way; dada ameonyesha msimamo wake wa nguvu kwa akina dada wengine kujifunza kwake
Bado nataka kuona SUGU, MR II naye anayamaliza
Na wengine nisiowajua nao wamaliza tofauti zao, hii itakuwa baraka kwa Rais wa Tanzania kuona mahasimu wakisameheana na kuanza ukurasa mpya
sidhaniSoon dinnamarios nae atarud kwenye kipind chake walah
Au ameshatosheka na uhondo pale EFMsidhani
yes na uzuri project zake zinaendaAu ameshatosheka na uhondo pale EFM
Eeeeh aisee Kama kawa Kama Ile kitchen party anapga hela balaaayes na uzuri project zake zinaenda
na hii mpya ya bosi mamaEeeeh aisee Kama kawa Kama Ile kitchen party anapga hela balaaa
Hapa nchakali alipata mke mzur sanana hii mpya ya bosi mama
gani hichoSoon dinnamarios nae atarud kwenye kipind chake walah
Leo tenagani hicho
mkuu samahan nipo nje ya mada kidogoyes na uzuri project zake zinaenda
Cc mayowela anaweza kuwa msaada wako hapamkuu samahan nipo nje ya mada kidogo
kuna jamaa mmoja ana vocal la hatari sana amehusika kwenye matangazo mengi tu na amekuwa akiwatengenezea ma Djs wengi jingles mf ; dj dea kama ile ya "profesioanal dj d ddddddj dea" hivi anaitwa nani huyu jamaa?