ameondoka muda mrefu sana lakini..alafu pia hao mjengoni kwamfano vipindi vyao vya clouds plus vingi vya kuunga unga tu..unaona kuwa content zinafosiwaAu ameshatosheka na uhondo pale EFM
kama mwana huyo yuko vizuri sana ila nae kinachomcost ana maringo sana yaani...kichwan yuko njema ila mtaani hajielewi kabisa...yuko na shindano lake la billboard kitaa tu basiHapa nchakali alipata mke mzur sana
Anaejituma
Dada mmbunifu sana huyu
Ttz wanaume wa dsm wamezoea kulelewakama mwana huyo yuko vizuri sana ila nae kinachomcost ana maringo sana yaani...kichwan yuko njema ila mtaani hajielewi kabisa...yuko na shindano lake la billboard kitaa tu basi
Atakua Patrick au M Lugoe,au Mbaba voice.mkuu samahan nipo nje ya mada kidogo
kuna jamaa mmoja ana vocal la hatari sana amehusika kwenye matangazo mengi tu na amekuwa akiwatengenezea ma Djs wengi jingles mf ; dj dea kama ile ya "profesioanal dj d ddddddj dea" hivi anaitwa nani huyu jamaa?
Atakua Patrick au M Lugoe,au Mbaba voice.mkuu samahan nipo nje ya mada kidogo
kuna jamaa mmoja ana vocal la hatari sana amehusika kwenye matangazo mengi tu na amekuwa akiwatengenezea ma Djs wengi jingles mf ; dj dea kama ile ya "profesioanal dj d ddddddj dea" hivi anaitwa nani huyu jamaa?
Walishaachana muda tuHapa nchakali alipata mke mzur sana
Anaejituma
Dada mmbunifu sana huyu
hapana unajua kinachotucost vijana tunashikiliwa vichwa sana na watu wanaosema wao ndo wamekuja mjini kitambo..sasa yule nchakali mwana yuko njema sana kichwani ndo uzuri wake lakini yeye bnafsi hajajua nn anaweza yeye kama yeye..lakini anaangalia sana foundation ndo shida inaanzia hapoTtz wanaume wa dsm wamezoea kulelewa
Na,wake zao ndo ttzo
Jamaa Yuko vizur sana aiseeehapana unajua kinachotucost vijana tunashikiliwa vichwa sana na watu wanaosema wao ndo wamekuja mjini kitambo..sasa yule nchakali mwana yuko njema sana kichwani ndo uzuri wake lakini yeye bnafsi hajajua nn anaweza yeye kama yeye..lakini anaangalia sana foundation ndo shida inaanzia hapo
sawa mkuu njoja nimsubiriCc mayowela anaweza kuwa msaada wako hapa
[emoji122] [emoji122] [emoji122]M
ML Chriss uyo