Lady Jaydee na Rozera

watu wakoromije wanavipaji bwana nasikia hata lady jay dee ni wakoromije
 
Huyu dada huwa anajua sana.. sema nae kaambukizwa ugojwa wa alikiba .. ha push ngoma zake sijui kwanini
 
Kabla ya huu kulikuwa na wimbo mwingine unaitwa kamoba nao mzuri kweli.. Ila sikuona akiufanyia promotion

Kamoba upo kwenye albamu yake atakayozindua, au labda ni mali ya yule mzambia aliyeimba nae
 
Seven Mosha anatakiwa aamke sasa hii ngoma inastahili kufika mbali wale H_Art band watu hatari sana hasa yule mhuni aliefanya verse ya kwanza weka mbali na watoto na dada yetu nae kakaza sana,hii joint inastahili kubakia kwenye hii device yangu kwa muda kidogo sio kama zile ambazo na-download alafu na-delete baada ya kusikiliza mara 3.
 
wa verse ya kwanza nimemkubali sana
 
SURE BROTHER,VP NA WA NEY WAPO,UNAUONAJE?
 
huyu bibi hana mambo mengine ya kufanya.? maana mziki ushamshinda
 
Haka kamama hakazeeki yaani kanazidi kuwa katamu tu duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…