Lady Jaydee ndani ya Bunge

respect wa boda

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
4,556
Reaction score
3,842
Mwanadada machachari wa Muziki nyororo wenye kuamsha hisia za kidume kisichopandisha kuweza kuumudu majukumu ya Mume kwa mkewe bila wasiwasi, ameonekana ndani ya Bunge kuwasabahi Wabunge wa CCM baada ya kupata Stress kutokana na kutokuwepo kwa Wabunge wa Upinzani Bungeni.

Hali hiyo imeonekana kuwafurahisha Wabunge wengi wa CCM kiasi cha kuonyesha meno yote thelathini na mbili yaliyoumbwa special kwa binadamu mwenye umri wa mtu mzima.


Pichani anaonekana Chenge sambamba naye pia anaonekana Nape ambaye uzalendo umemshinda kiasi cha kuomba picha ya kutokuwa mbalimbali ili angalau joto la mwanadada huyo liweze kumuambukia...!!!!

Picha kufuata soon

BACK TANGANYIKA

========

Mwanamuziki nyota nchini, Lady Jay Dee leo ametembelea bungeni kilipokuwa kikiendelea kikao cha 36 cha Bunge, mjini Dodoma ambapo baadae alifanya mazungumzo na wabunge na mawaziri mbalimbali.







Chanzo: Mwananchi Blog
 
Duh: hivi hata mimi sina ndugu hata mwenyekiti wa kitongoji nikitaka kwenda mjengoni wataniruhusu?
 
Nilikuwa namuheshimu Gadner, sidhani kama atanichukia juu ya mtalaka wake. Ndiyo hivyo Gadner mie mtu mzima mwenzako nimeziba.....
 
Nafikiri anajiandaa kuendelea kupiga show kali hapo Dodoma trh 4 June 2016 kama kawaida mambo ya ndi ndi ndi yanaendelea.Ndi ndi ndi...loading at Dodoma
 
Nilikuwa namuheshimu Gadner, sidhani kama atanichukia juu ya mtalaka wake. Ndiyo hivyo Gadner mie mtu mzima mwenzako nimeziba.....

Mkuu kama unauwezo jilie vyako tu, huibi wala junyang'anyi

BACK TANGANYIKA
 
umeshindwa kuweka picha, weka hata chanzo cha udaku basi.
 
Fahari ya macho. . . . . .
 
Tori NDI ze ndi ndi ndiiii
 

Attachments

  • 1464987314759.jpg
    18.5 KB · Views: 28
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…