warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Japokuwa wengi walidhani wimbo wa Yahaya ulimlenga mmoja kati ya maadui wa Lady Jaydee, mwenyewe amekana uvumi huo na kusema.
LADY JAYDEE:
Mimi nyimbo zangu uwa ni za kweli na ninaongozwa na hisia kwenye nyimbo zangu. Yahaya ni kweli yupo na alishawatapeli wengi apa mjini. Sina shida naye kwani ni rafiki yangu na watu wanamjua na uwa anakuja Nyumbani Lounge.
LADY JAYDEE:
Mimi nyimbo zangu uwa ni za kweli na ninaongozwa na hisia kwenye nyimbo zangu. Yahaya ni kweli yupo na alishawatapeli wengi apa mjini. Sina shida naye kwani ni rafiki yangu na watu wanamjua na uwa anakuja Nyumbani Lounge.