MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
Hilo nalo neno!Kweli watu hatuna vya kuandika sasa!
Atakuwa ametoka nje ya ndoa tu huyo.
jina lako tu ni mdanganyikaji sasa inawezekana umedanganywa na hili piahizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
umeonaaaeeeeeeeeeeeeehHaka kamtindo ka utetesi tetesi kangefutwa naona
source please!
Naunga mkono hojaHaka kamtindo ka utetesi tetesi kangefutwa naona