Lady Jaydee nimerap kwenye ngoma yangu niliyo andikiwa na ngosha fidq

Lady Jaydee nimerap kwenye ngoma yangu niliyo andikiwa na ngosha fidq

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa

Husika na kichwa ha habar hapo juu

Yule dada yetu mkali dada mtata komando la kivita anayejiamin na asiye tishiwa nyau yupo mbion kuachia ngoma mpya ambayo kafanya kwa aina tofaut kabisa na ile tuliyoizoea kutoka kwake

Dada huyo kafunguka na kusema kwamba kafanya ngoma mpya pale combination sound kwa man water ngoma hiyo kaandikiwa na raper mubaya raper mtata kutoka mwanza ngosha the don

Ngoma hiyo ambayo inakwenda kwa jina la i miss you jina hilo likiwa ni idea ya ngosha. mda si mrefu itakuwa hewan

Dada kadai kaamua aje kwa aina tofaut ili awappe raha mashabiki zake ambao wamemumis siku nyingi

Huyu dada hajawahi niangusha hata siku moja nampenda kinoma
Kumbe hata kurap anajua

20346843_710003375851698_5645534790317768704_n.jpeg



Cc mbitiyaza

LONDON BABY
 
Huyu Rad jay d ni wa wapi, India?
 
Mh tutaona mengi mwaka huu,hilo nalo litakua moja wapo
 
Back
Top Bottom