idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Huu wimbo ni mahususi hasa kwa vijana, sio tunaendekeza starehe kwa muda mfupi halafu tunapoteana.
Tujitaidi kutunza vipato vyetu, tule starehe kwa stepu historia iwe baada ya kifo sio kabla ya kifo.
Asante Komandoo endelea kuumiza kichwa kwa faida ya jamii...!!!
Tujitaidi kutunza vipato vyetu, tule starehe kwa stepu historia iwe baada ya kifo sio kabla ya kifo.
Asante Komandoo endelea kuumiza kichwa kwa faida ya jamii...!!!