Ama kweli ukistaajab ya musa utayaona ya firauni,yaan kweli unamfananisha mtu aliyepata mafanikio kwa juhud zake na umahiri wa kaz zake,na mtu aliyepata umaarufu kwa kwa skendo za kupigwa mpini?Wote ni maarufu ndio na inawezekana wema yupo midomon mwa watu zaid lakin JD anaheshimika tofauti na huyo malaya.