Lady JD ajichagulia Jeneza la kuzikiwa

Maisha ni kuchagua naye kaamua hivyo. Tuheshimu maamuzi yake
 
Hii story ni kama ya miaka mingi kidogo iliyopita,
au ameanza tena.
Mwache atamani kufa huko hakuna ndoa wala kuimba bongo fleva.
Mamndenyi hii ni Mpya amesema amebadilisha rangi na kutakuwa na mwaliko maalumu
Wodi za vichaa zafaa ziongezwe! Attention seeker kwa mtindo huu unamtania aliyekuumba.
 
Mbona sioni tatizo hapo!! Wala hajakosea kitu, ni wishes mtu anazotaka ziwe akifa sawa na mtu anaeandika wosia na kutoa masharti/ maelekezo ya kuzikwa mahali flani, kidini au kiserikali na n.k.
Kwa mtu anayeandika sana wosia wa watu hasa wanasheria hawawezi kuwa na la kushangaa hapa. Nani ajidhaniaye ataishi milele?
 
Si alishasaga hii kiti miaka ua zamani....kama karudia basi ni kutafuta kiki kwa habari
 
Bila shaka pepo la mauti zinamzengea, atamanicho mtu moyoni mwake ndicho apatacho.
 
Afya ya akali inahusika! kiafrika yapo mambo unakuwa umevuka mstari.
 
Ni ufinyu wa fikra! Ana hakika gani kama atakufa kifo cha kuzikwa kwenye jeneza? Afikirie sana vifo vya ndege, maji na moto, ambapo watu hupotea kabisa
 
Jay dee angekuwa Rubani nisingepanda ndege yake. Something seriously wrong/condesed upstairs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…