Let's do this
Nilikuwa nasahau nyinyi ni wachawi pia, no wonder you lead on sorcery all over the world.Mambo ya Albino yameputwa na wakati sasa hivi Tanzania tumegundua dawa mpya ukila nyama ya mkikuyu unakuwa tajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeanza na kuweka ya kwani tunawajua na upikaji wa takwimu.Let's do this
Nipe casual price tag za mayai per tray, kuku pers unit, nakuletea za Tanzania right now
Freshian kwa kiswahili ni? Hata sisi kwa lugha zetu za Asili tymezipa majina za kurahisisha kama vile Freshia for Freshian. Si sioni sababu nitayumia hilo jina wakati namuelezea mtu asielewa lugha yangu... Huo ndio tunaita ushamba na wengi wenu ni washamba.Jamaa alipo taja jina la ngombe akukosea tatizo lenu Kenya ni utumwa wa kingereza sisi tunajitaidi kuweka majina katika mfumo wetu wa kiswahili ili kurahisisha utamkaji na kukuza lugha yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeanza na kuweka ya kwani tunawajua na upikaji wa takwimu.
Acha kujiaibisha ,umezidi ujingaKenya bwana wnatupiga bao, kweupe, sisi tunanunua ndege mpya inabeba mbuzi kwenda arabuni, sasa hivi tutapeleka mkaa uwahi hija
Mayai tray Moja ni 250 shillings... Maziwa ni 50 Bob litreLet's do this
Nipe casual price tag za mayai per tray, kuku pers unit, nakuletea za Tanzania right now
Buda one month chicken ndio mnakula.. Ama mnanunua kuzifuga.. Una kichaa.
We sell whole chicken by 204,the same chicken you sell it by 450
Hivi vitu tulisoma kidato cha kwanza.
Tetete...chuo kikuu cha ruaha😂😂Ahaaa haaa haaa
hiyo ulisomea Songea Girls au Loleza?
Teh teh teh tihiii
Tetete...chuo kikuu cha ruaha😂😂
Hamna, yani the cheaper the price the poorer the country.
Hiyo ni 204 KES, ni wapi Kenya unaweza kupata kuku kwa hiyo bei?
ATCL imeanza kupeleka mbuzi Dubai kwa kutumia Ndege ya Abiria Dreamliner..
Bado sijaconfirm kama Mbuzi walikaa kwenye siti za abiria au sehemu ya mizigo.