Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani wanashindwa kuchonga za kwao kwa nini? Shida mpaka uwe na Tin na leseni ya biashara? Kitu ambacho kwa wengi wanashindwa kutimiza vigezoMbona kuchonga laini ya tigo ni rahisi sana tena ndani ya muda mfupi. Za kununua zipo nyingi ila itakapotokea shida itakuwa htr sana kwako
Ninayo laini ya uwakala ya tigo ..inapiga kazi fresh tuNANUNUA LAINI YA WAKALA YA TIGOPESA, KAMA UNAYO NICHEK KWA 0629251988. NIPO DAR
Nenda Tra kaombe TIN number hii ni bure wala haina makadirio ya kodi kwa mwaka Ila usiwaambie lengo la hiyo TIN ni kwenda kufungulia leseni ya biashara then chukua TIN mpange na jamaa akupe tax clearance ila utamlinda japo maji ya kunywa ya elfu 5 nenda ofisi husika Kwa eneo ulilopo kasajili leseni ya biashara hii utalipia around elfu 60 na hapa utaenda na kitambulisho na ni zoezi la masaa machache unamaliza unapata lessen na TIN yakoNaipataje?