Hata Nape naye ni msanii? Maana kamera zinamfata aendako au anaziita ili kutuzingua tuu?
View attachment 145821
Sent from my iPad using JamiiForums
Bongo hamna msanii kuna wauza poda tu!
Zilikuwa kampeni za wapi hizi?
..na asingekua star camera zingemmulika kila aendako? Halafu na ww ungepost nn hapa? Hivi waafrika mtaacha lini uchawi
Diamond anaandamwa jaman sasa hapo tatizo liko wapi jaman eti
..na asingekua star camera zingemmulika kila aendako? Halafu na ww ungepost nn hapa? Hivi waafrika mtaacha lini uchawi