Laiti kama!

Laiti kama kila mwanaume angekuwa akipiga bao inalia kama gobole sijui ingewaje

Usiku ingekuwa hapatoshi ile puu! Puu! Ingebidi litengwe eneo mahususi kama la viwanda[emoji86] [emoji86]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Umewaza nini mkuu.
 
Laiti kama mawazo ya watu yangekua na sauti! Yaani unatembe unamsikia mtu anachokiwaza [emoji23][emoji23][emoji23]
Tungesikia mengi ya kipuuzi aisee
 
Tena mi ingekuwa AK47 majirani wakiniona naingia tuu wanafunga milango na madirisha afu wanaeka earfon maskion
 
Mlio wa wale wenye Vibamia ungejulikana tu, kama ulivyo mlio wa Gobole...[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Vibamia itakuwa inalia kama bastola za muvi za kihindi chwiyuuuu chwiyuuu au bastola za maji za watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…