Lake Nyasa/Malawi walishalichukua Ziwa lao? Ni kama tumepokonywa au tumeliacha?

Lake Nyasa/Malawi walishalichukua Ziwa lao? Ni kama tumepokonywa au tumeliacha?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ukiangalia kwenye ramani unaona kabisa kuwa hili tumelimega sisi wenyewe pia. Linganisha na Ziwa Tanganyika ramani ilipopita. Kisha njoo Ziwa Nyasa.

Unaona tofauti? Je hii haimaanishi Malawi wapo sahihi kusema lote ni lao na ushahidi huu hapa ramanini?

Screenshot_2024-03-30-22-07-46-007_com.android.chrome~2.jpg
 
Angalia ramani ambazo chanzo (source) chake ni Tanzania.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    22.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom