Tetesi: Lake Nyasa Saga: Malawi waits response from Tanzania

a wise decision ni kuwaachia kama tz we have oceans, lakes and other river why fight over just one lake????
Naomba nikufuatilie kwa karibu [emoji53] post yako imenipa hofu. Gudday
 
Google Maps


 
Malawians have started their poking ,they may have some right over the disputed lake,but i don't think TZ will let it go in any way
Its up to Malawians to keep quit,because the lake is our,there is no way you can take it all
 
a wise decision ni kuwaachia kama tz we have oceans, lakes and other river why fight over just one lake????
peleka upuuzi wako watu wa Mbeya wanaopakana na ziwa je?
 
Kwanza Kenya ulitakiwa usipate hata kipande cha ziwa Victoria maana mpaka wa Kenya na Uganda ulikuwa Eldoret
 
Cha kushangaza Ziwa hilo limegawanywa katikati nusu ikiwa upande wa Msumbiji na nusu upande wa Malawi, ukija upande wa Tanzania wamalawi wanadia Ziwa lote nilao!! Kuna mantiki gani ya kuwa na double standard?
Hiyo map ya wamalawi inapatikana wapi?
 
Kama hizi chokochoko zitaendelea, I am very sure that one day Malawi itafanywa kuwa miongoni kwa wilaya za mkoa wa mbeya. Trust me!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…