kweli duniani kuna mambo ila kikubwa nikusimamia maandiko matakatifu nje ya hapo shombo haiwezi kuisha kwa wanawake na wanaume hata kwa wapenzi maana dunia ya leo ni money first mengine yatafuata mbeleni na matokeo yake shombo(HIV) ina ingia kwenye familia na haikomei hapo inaingilia hata watoto wanaoachwa wanakuwa omba omba kutokana na kukosa malezi ya wazazi tuongopeni hii shombo