Lakini nimegundua......


tatizo mashirika mengine yanapendwa na watu, soo maombi yanakuwa mengi sana....sasa hebu fikiria mfano TRA wanatangaza nafasi moja tuu, halafu maombi yanakuja elfu moja na wote mna sifa, si inabidi mchakato uwe mrefu....halafu kumbuka wakati wewe ukiwa unasubiri, kawaida hua wanakuwa wanapitia maombi ya wengine pia, ni ngumu kwakweli kupata mfanyakazi bora kuliko kutafuta kazi
 

this is quite new...LOL

Maty.....lengo sio kumega fasta fasta always...
 

My dear....
hapo kwenye bold-mtu wa namna hiyo probably hajazoea kufatwa fatwa....so the only chance they get wanahakikisha anakupeleka hadi mwenye kufata nae anakereka! but katika mazingira yale - ukigeuka huku kakusemesha huyu - hajamaliza mwingine ameshakufata nyuma....hivi kweli mtu utataka msururu wa watu kupotezeana muda kila siku.....mmh! am just thinking......

Good......:coffee::coffee: nothing personal luv

Goood.....:becky::becky:
 

Kweli mjukuu wangu Maty,

Kitu chako cha thamani kubwa lazima ukilinde kwa gharama yoyote. Huwezi kukiweka rehani kimzaha mzaha.

.....Ila nimekumiss wewe...hata sijielewi!
 
this is quite new...LOL

Maty.....lengo sio kumega fasta fasta always...

Umeongoka lini Kaizer?

Kama ni hivyo mitaa ya Ohio na Clubs mashuhuri kama Joly zingeshafungwa siku nyingi!!

A real and wild man has got no more than 5 minutes to waste. Labda kama wewe ni masalia!
 
Hahaha tatizo hommie kazoea "one night stand" sasa kakutana na"six months stand" kakosa mbinu! Uzee nao tabu!

:A S 13::A S 109::A S-omg:

Kimey ngoja nikacheke kwanza..will be back

Mpendwa Kaizer.... kanisa linasimamisha huduma yako ya kupiga kinanda mpaka utakapojibu hizo tuhuma....:angry:
 
Kweli mjukuu wangu Maty,

Kitu chako cha thamani kubwa lazima ukilinde kwa gharama yoyote. Huwezi kukiweka rehani kimzaha mzaha.

.....Ila nimekumiss wewe...hata sijielewi!


umeona eee babu, nipo mpenzi tunasukumana sukumana na maisha mzima lakini? mic u too
 
:A S 13::A S 109::A S-omg:



Mpendwa Kaizer.... kanisa linasimamisha huduma yako ya kupiga kinanda mpaka utakapojibu hizo tuhuma....:angry:

Askofu...........
U have been missed mno!!
Where have u been hidding....unaona ulivyowapoteza kondoo??:A S 20:
 
Hahaha tatizo hommie kazoea "one night stand" sasa kakutana na"six months stand" kakosa mbinu! Uzee nao tabu!

Kimey umenichekesha sana. afadhali lakini, sasa ana experience ya upande wa pili wa shilingi
 
hawa namba 2 ndo wazuri maana wanakufanya ujue tamu na chungu ya kupenda...ujue kitu kitamu ni kile ulichokihangaikia kwani utakipa thamani ya juu ukikumbuka jinsi ulivyopata shida kukipata.
 
hawa namba 2 ndo wazuri maana wanakufanya ujue tamu na chungu ya kupenda...ujue kitu kitamu ni kile ulichokihangaikia kwani utakipa thamani ya juu ukikumbuka jinsi ulivyopata shida kukipata.


mkuu seto, kweli lakini si unaweza ukawa unadhani kuwa utakipata baada ya muda kumbe ikawa biashara ya fisi kumfata binadamu akiamini mkono utadondoka?
lakini hata ukija kukipata, kuna guarantee pia hutakipa thamani ki vile kwa sababu 'kilikusumbua sana' au unaonaje..
 
Mpendwa Kaizer.... kanisa linasimamisha huduma yako ya kupiga kinanda mpaka utakapojibu hizo tuhuma....:angry:

:A S 13::A S 109::A S-omg:
 
Tunawapa makondishen mazito kama hatuwataki. Lol!
Nikijua huna hata baiskeli nakwambia uninunulie range ili mradi tu uchape lapa usinisumbue sumbue. Lol!
 
Tunawapa makondishen mazito kama hatuwataki. Lol!
Nikijua huna hata baiskeli nakwambia uninunulie range ili mradi tu uchape lapa usinisumbue sumbue. Lol!

hahahahaah hebu nisivunjike mbavu miye....na yule unayetaka akusumbue unampa makondisheni gani LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…