Golo la pili aliteleza,Mechi moja makosa mawili yanyofanana na moja likizaa goli.
Umesifiwa siku mbili, lakini haikukusaidia kubadilika.
Makosa kama haya hayawezi hayavumiliki.
Waliosema Manula atafute timu Leo wamemuona Lakred halisi.
✅Simba nafasi ya tatu au ya nne, msimu huu.
Tutaridhia.Simba nafasi ya tatu au ya nne, msimu huu.
Walivyompamba sana....nikianza kuamini ....mbwa Mimi [emoji23][emoji23]Mechi 2 tu wakaanza kumfananisha na Diarra mwenye misimu miwili akiwa kwenye kiwango cha juu!
Vijana wa Rage ni wasahaulifu sana hata Ali Salim walimfanaisha na DiaraMechi 2 tu wakaanza kumfananisha na Diarra mwenye misimu miwili akiwa kwenye kiwango cha juu!
Mlishawaomba msamaha tulieni.Mechi moja makosa mawili yanyofanana na moja likizaa goli.
Umesifiwa siku mbili, lakini haikukusaidia kubadilika.
Makosa kama haya hayawezi hayavumiliki.
Waliosema Manula atafute timu Leo wamemuona Lakred halisi.
Hauko serious Mkuu, mechi mbili?Walivyompamba sana....nikianza kuamini ....mbwa Mimi [emoji23][emoji23]