Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salaam Wana JF
Hatimye bado wakimataifa (YANGA) wameendelea ku make headlines duniani kwenye vyombo vya habari na mitandao duniani baada ya kuwapongeza mabingwa wa kombe la ligue kuu ngumu kuwahi kutokea Tanzania pia ubingwa wa shirikisho kombe la Azam
Issue nzima iko hivi ......leo ligue inayoongoza kwa viwango duniani LaLiga imeipongeza club ya YANGA baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la Azam Confederation Cup ambapo ni mara ya pili kwa mabingwa Hawa kupongezwa na LaLiga......Kitu ambacho hakijawahi kutokea Afrika ..
LaLiga wameandika hivi "Congratulation once again, YANGA SC on winning ASFC CUP 2022"
Bravo, What a year" [emoji122][emoji122]
Nawakumbusha ni YANGA tu ambayo ina iheshimisha Tanzania na Afrika nzima
Anyway tutegemee watalii wengi kuongezeka Tanzania kutokana na watu wengi huko duniani wanajadili ukubwa YANGA..
Hatimye bado wakimataifa (YANGA) wameendelea ku make headlines duniani kwenye vyombo vya habari na mitandao duniani baada ya kuwapongeza mabingwa wa kombe la ligue kuu ngumu kuwahi kutokea Tanzania pia ubingwa wa shirikisho kombe la Azam
Issue nzima iko hivi ......leo ligue inayoongoza kwa viwango duniani LaLiga imeipongeza club ya YANGA baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la Azam Confederation Cup ambapo ni mara ya pili kwa mabingwa Hawa kupongezwa na LaLiga......Kitu ambacho hakijawahi kutokea Afrika ..
LaLiga wameandika hivi "Congratulation once again, YANGA SC on winning ASFC CUP 2022"
Bravo, What a year" [emoji122][emoji122]
Nawakumbusha ni YANGA tu ambayo ina iheshimisha Tanzania na Afrika nzima
Anyway tutegemee watalii wengi kuongezeka Tanzania kutokana na watu wengi huko duniani wanajadili ukubwa YANGA..
Maendeleo hayana chama View attachment 2280818