lamba taka

BIN BOR

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
1,013
Reaction score
407
Bwana mmoja alikurupuka na kuingia nyumbani kwa mama mmoja na kuanza kumwaga vumbi na takataka nyingine kwenye zulia. Yule mama kwa mshangao akamuuliza.
"we mwehu nini?"
"hapana mama, ninafanya promo ya mashine ya kufagia inayotumia umeme kidogo tu. Nakuapia mama yangu, mashine ikishindwa kusafisha hizi takataka nitazilamba kwa ulimi wangu"
"Haya haraka, anza kulamba taka. Hakuna umeme hapa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…