Lamine Ndiaye anaweza kutangazwa kuwa Kocha Mkuu wa Simba

Lamine Ndiaye anaweza kutangazwa kuwa Kocha Mkuu wa Simba

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, kocha wa Horoya anayemaliza mkataba wake, Lamine Ndiaye anaweza kutangazwa muda wowote kuwa kicha mkuu wa Simba.

Ameshawahi kufundisha TP Mazembe, Cotton Sports, Leopards na hata Senegal National Team.

Ngoja tuone kama watafikiana makubaliano na Simba.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Safi, walete kocha wa maana halafu aletewe wachezaji wa maana pia
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kocha bila wachezaji ni Bule.

Kuwategemea akina Dejan ni upuuumbuuumfuuuuyuuu.....
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Naskia mpya wa Simba atatokea Ureno.
 
Back
Top Bottom