Usijali kiongozi no hard feelings... Ila nimejaribu kueleza hizo quotes jinsi hao watu walivyotoa.Tusigombane mkuu.
Tafadhali angalia post yangu nimemjibu nani...nami nimemquote mtu aliyequote watu.
Hii thread haitokaa ipate muafaka lakini naomba tu tuende kwa amani...huu mchezo hauhitaji hasira mkuu.
Henry wa ArsenalWakati tetesi zikivuma kuwa Steven Gerrard anajiandaa kutangaza kustafu kabisa soka katika timu yake ya L.A Galaxy.
Leo tuangalie viungo watatu wa Kiingereza waliotamba kwa miaka 15 iliyopita. Japo hawafikii uwezo wa viungo kama Xavi na Pirlo lakini tuone nani alikuwa mahiri zaidi.
Je kati ya Frank Lampard nyota wa zamani wa Chelsea na Man City, Paul Scholes nyota wa zamani Man Utd na Steven Gerrard nyota wa zamani wa Liverpool ni nani alikuwa bora hasa katika suala la uwezo wa kumiliki mpira, Kupiga pasi na hata kuibeba timu inapohitajika? Ni kiungo yupi kati yao ulimkubali zaidi?
Tuweke unazi wa vilabu vyetu pembeni, karibuni katika mjadala...
Tuzungumzie kwa hiki kizazi cha sasa lakinimsimalize maneno kama vile katika England hajatokei mchezaji kama yeye kwani kulikua na wachezaji kama Bobby More captain wa England miaka ya. 66 /70mpakasasa hajatokea kiungo kama Hugo na yeye na timu take wameleta kombe la dunia England jambo ambalo kwa sasa wore wanashindwa kuleta kombe na England inaonekana time ya kawaidamkuu Paul scholes huwezi kumlinganisha na hao watu ....ni kiumbe cha pekee sana kuwahi kutokea nchini England.
Aahahahahaha buji buji umeuaaaautakuwa na matatizo makubwa sana kwako kama kujinyea ni kitu cha kawaida
Terry na Rio hawapikiki chungu kimojaNasubiri Terry astaafu tuanze kumlinganisha na Vidic au Ferdinand!
Mkuu acha utani kama si masihara, toka lini Bobby Moore alikuwa kiungo? Mambo mengine kama hamjui ni bora mkae kimya.Tuzungumzie kwa hiki kizazi cha sasa lakinimsimalize maneno kama vile katika England hajatokei mchezaji kama yeye kwani kulikua na wachezaji kama Bobby More captain wa England miaka ya. 66 /70mpakasasa hajatokea kiungo kama Hugo na yeye na timu take wameleta kombe la dunia England jambo ambalo kwa sasa wore wanashindwa kuleta kombe na England inaonekana time ya kawaida