Land Cruisers enthusiastic special thread

fabinyo

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
3,042
Reaction score
2,221
Ni gari iliyojijengea heshima duniani kote, hususani Africa kutokana na uwezo wake wakukabili barabara mbovu na korofi, uimara wake na uwezo wa kuishi muda mrefu. Tuachane na hizo sijui Prado, hapa tuongelee Land Cruisers series zote, iwe LX,VX,ZX,GX,GL na zinginezo.

Katika vizazi vyake vyote mpaka sasa, matoleo bora zaidi yanayoshuhudiwa na wengi kuwa aggressive, powerfully na reliable kuwahi kutokea ni L/C series 80 na 100. Binafsi nimeendesha series 70(LX,Hardtop),80 (GX),100(VX) na series 200 (ZX) aka (kilimo kwanza) japo hayakuwa yangu 😀 ila imenifanya nizifahamu vema LC. Inshalaah kama uhai ukiwepo sitoiacha series 100 ile ya diesel. Hayo ni kwa uchache kutoka kwangu, nimeona hatuitendei haki gari hii madhubuti kwa kutokuwa na uzi kama huu ( sijui kama upo) mujarabu kuihusu.

Haya, mwenye ndoto za kumiliki gari hii sema chochote na wale wamiliki leteni utamu wake na shuhuda mbalimbali zinazoihusu ili tuendelee kupata mzuka zaidi wa kufanya kazi na kutimiza ndoto ya kuimiliki.




Land Cruiser Off-road Oriented Models History

1. BJ and FJ (1951–1955)



Engine
  • 3.4 L B I6
  • 3.9 L F I6

J20, J30 (1955–1960)


Engine
  • 3.4 L B I6
  • 3.9 L F I6

2. J40 (1960–1984)

Engine

3. J70 (1984–present)

Engine

4. J50 (1967–1980)


Engine

5. J60 (1980–1989)

Engine
  • Petrol:
    • 4.2 L 2F I6 (FJ60)
    • 4.0 L 3F I6 (FJ62)
    • 4.0 L 3F-E I6 (FJ62 from 1988)
  • Diesel:

6. J80 (1990–2008)

Engine

7. 💪💪J100 (1998–2007)

Engine

8. J200 (2007–2021)



Engine

9.J300 (2021-present)



Engine





Chanzo (Toyota Land Cruiser - Wikipedia)
 

Attachments

  • 1664113804800.png
    23.6 KB · Views: 29
  • 1664114204696.png
    8.4 KB · Views: 27
Intro umeaiandika vzr mkuu lkn hayo maelezo from wikipedia ungeyatoa maana yanachafua uzi na hakuna atayeyasoma(yameifanya thread kuonekana ndeeefu na kupoteza mvuto).,samahani lkn.

Thread nzuri.
 
Intro umeaiandika vzr mkuu lkn hayo maelezo from wikipedia ungeyatoa maana yanachafua uzi na hakuna atayeyasoma(yameifanya thread kuonekana ndeeefu na kupoteza mvuto).,samahani lkn.

Thread nzuri.
Hakuna haja ya samahani mkuu...sio lazima sana mtu ayasome,ni ziada tu,kikubwa ni kushare passion za LC.
 
land cruiser trim levels za 200 series;
GX standard - hii ni standard land cruiser haina maudambu dambu yoyote hata taa zake ni za kawaida tu, milango yake ya nyuma ipo kama kabati, yani ipo kikazi zaidi


GX-R - hii imeongezewa kidogo manjonjo mfano taa za LED

ikitoka hapo inakuja VX
VX- hii imechangamka zaidi za GX

VX-R


VXS- naziona zaidi kwenye soko la uarabuni


ZX -


Sahara - hii ndio top yaani kilele cha landcruiser, hii imejitosheleza kwa kila kitu na option zote toka kiwandani zimewekwa.

Wanaojua zaidi waweza kunirekebisha na kuongezea
 
Mwanzo umeanza vizuri kuelezea unavyolijua wew ila futa hayo maelezo ya kugoogle..marefu na yana bore kuyasoma,ungeweka link tu ingetosha
Shukrani, nimerekebisha kidogo, waweza ongezea unavyojua zaidi yangu n.k
 
Vyuma vimetulia
 
Kichwa ako ni nzuri kweli?

Umeharibu uzi hutaki ambiwa ndo Mana replies 11 toka 2019
Hakuna haja ya samahani mkuu...sio lazima sana mtu ayasome,ni ziada tu,kikubwa ni kushare passion za LC.
 
Kwangu GXL Wagon au GXL Double cab ndio ulevi wangu, inshallah siku moja yes. Itatiki tu.
Kumbe unalewaga pombe usiyoinywa mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…