hahahaha...! Daah! sio poa!!Discovery ni gari ya ndoto yangu. Ndoto nazipata ila gari yenyewe ndo bado, nikishituka ndotoni najikuta kwenye guta linatetemesha mwili mzima.
Upo wap mkuuhahahaha...! Daah! sio poa!!
Dar es Salaam Mkuu..., kama unahitaji taarifa zaidi nicheki +255(0)694-206924 or +255(0)713-668656Upo wap mkuu
Unamaanisha south africa?,58m TZS unapata discovery Kama hizo 3 Pretoria
muuzaji hiyo 58m TZS umezidisha mara 2 ya bei halisi kwa mtu akiagiza haizidi 25m TZSMagari yasiyohitaji pesa za mawazo
Hahaaa njoo kwa KC Team,juzi katangaza ya 2007 kwa M22 kitu piruu,mpaka mkononi ilikuwa M33,we jamaa ni dalali au?? M58 unapata Discovery 4 Uk saafi kabisa
jamaa kawamaliza kabisa. DISCOVERY bei ya RAV 4?KC global mzee wa madungu jeshi amewashika pabaya wauzaji na madalali wapigaji, kwa sasa hawapumui
Ha ha haLand Rover Discovery 3 Inauzwa..,
Gari haina tatizo lolote, Ipo katika hali nzuri sana.
Model ya 2005, Automatic transmission, Milleage ni 100,000 kms.
Kwa maelezo zaidi +255(0)694-206924 or +255(0)713-668656
Bei; Tsh. 58M (inazungumzika)
Selling Land Rover Discovery 3..,
The Car is in perfect condition, everything works perfectly, It looks as good as New.
A 2005 Model, Automatic transmission, 100,000 km Mileage.
For more details, kindly reach out to +255(0)694-206924 or +255(0)713-668656
View attachment 2370864View attachment 2370865
Price; 58M Tsh. (Negotiable)
Hyu jamaa ndio yule wanamuita mzee wa MA range.KC global mzee wa madungu jeshi amewashika pabaya wauzaji na madalali wapigaji, kwa sasa hawapumui
Huku sio pretoria58m TZS unapata discovery Kama hizo 3 Pretoria
Aseee! Safi hii, Kwa hiyo Moja kama 19-20m. Na je inafikaje huku kama nikihitaji?58m TZS unapata discovery Kama hizo 3 Pretoria
www.webuycars.co.za Kwa maelezo zaidi Mtafute clasi yupo SAAseee! Safi hii, Kwa hiyo Moja kama 19-20m. Na je inafikaje huku kama nikihitaji?