Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hiyo mkuu ila kitu mang'anyu namba c....unabadili tu gearbox na engine kisha popote inakwenda.MKUU HII SI NI ILE ILIYOTUMIKA KWENYE gods must be crazy?????!!!aiyaaa iyaaa iyaaa iyaaaa
Nimeshasahau siku ni nyingi ngoja leo nikahakikishe.gear nne bado au mmezipunguza
Nadhani hii gari dereva lazima akili iwe kidogo kama ya bush mankm 39000670![]()
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
Duh! Ukichukua namba itakuwa umeshaiuwa biashara yenyewe maana ndiyo kitu pekee cha kisasa.vp mm nataka uniuzie plate number tu.
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Duh! Ukichukua namba itakuwa umeshaiuwa biashara yenyewe maana ndiyo kitu pekee cha kisasa.
no hii inambili na haina rivasigear nne bado au mmezipunguza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii mashine kama aloigizia yule mzungu wa Bushmen, ayayayayayayayah yayayayahkm 39000670![]()
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
Me naitakakm 39000670![]()
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uza tu mkuuDuh! Ukichukua namba itakuwa umeshaiuwa biashara yenyewe maana ndiyo kitu pekee cha kisasa.
Mkuu.....km 39000670![]()
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.