Land rover namba C inauzwa

Land rover namba C inauzwa

Kazwala mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
1,034
Reaction score
2,250
ea538a8dcac9fab28264e38adeab5c4d.jpg
km 39000670
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
 
MKUU HII SI NI ILE ILIYOTUMIKA KWENYE gods must be crazy?????!!!aiyaaa iyaaa iyaaa iyaaaa
Ndiyo hiyo mkuu ila kitu mang'anyu namba c....unabadili tu gearbox na engine kisha popote inakwenda.
 
ea538a8dcac9fab28264e38adeab5c4d.jpg
km 39000670
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii mashine kama aloigizia yule mzungu wa Bushmen, ayayayayayayayah yayayayah
 
Mkuu yaani huku kwetu bukoba hyo inauzwa laki mbili na imejaa mikungu ya ndizi lakini bado watu hawanunui
 
ea538a8dcac9fab28264e38adeab5c4d.jpg
km 39000670
Ilikuwa inadaiwa Tra milioni 30 lakini usihofu deni limefutwa, chombo ipo safi bei maelewano tu.
Mkuu.....
Naomba unitumie picha ya ubavu, ndani na kwanyuma.
Pia naomba uweke bei yake tafadhali.
 
Back
Top Bottom