tatizo kazi za humu siku zote ni utata kwani mimi sina sifa hiyo ya land surveyor lakini kuna rafiki yangu wa karibu nilimtuma afuatilie hiyo kazi CHAKUSHANGAZA alichojibiwa hakuna kazi tena na hakuna mtu aliyetngaza nafasi hiyo. ni uzushi mtupu. tusitumie mtandao vibaya tusipotezeane muda na ndiyo maana hata hakutaja jina wala cheo chake hapo kazini.
ujinga mnafanya siyo mzuri..
tatizo kazi za humu siku zote ni utata kwani mimi sina sifa hiyo ya land surveyor lakini kuna rafiki yangu wa karibu nilimtuma afuatilie hiyo kazi CHAKUSHANGAZA alichojibiwa hakuna kazi tena na hakuna mtu aliyetngaza nafasi hiyo. ni uzushi mtupu. tusitumie mtandao vibaya tusipotezeane muda na ndiyo maana hata hakutaja jina wala cheo chake hapo kazini.
ujinga mnafanya siyo mzuri..
tatizo kazi za humu siku zote ni utata kwani mimi sina sifa hiyo ya land surveyor lakini kuna rafiki yangu wa karibu nilimtuma afuatilie hiyo kazi CHAKUSHANGAZA alichojibiwa hakuna kazi tena na hakuna mtu aliyetngaza nafasi hiyo. ni uzushi mtupu. tusitumie mtandao vibaya tusipotezeane muda na ndiyo maana hata hakutaja jina wala cheo chake hapo kazini.
ujinga mnafanya siyo mzuri..
Mzee usijumuishe mambo...kama kazi hii ina tatizo sema hii...lakini sio zote..kwani nina uhakika kabisa...post za mwezi jana zilizotumwa na Melo...ni za kweli na dead line ilikuwa ya kweli kuna mtu ka apply ana ameshakuwa shortlisted..wengine niliwatumia kama zile za IT muhimbili..nao wamekuwa shortlisted...next ni interview...please usitake kupoteza maana ya jukwaa hili..please...