Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
- Thread starter
-
- #21
Hiyo ni kama 950000Km ya mileage mzee,,,,,nimepiga hesabu Bei ya kununulia ni kama milion 28 + million 14 za kodi, jumla ni kama 42M tshs.Bei wakuu. Kama hiyo nyeusi hapo juu. Brand new. In Tshs...
Hizi ni generation/toleo la mwazo kabisaa
Hii moja ya juu ni petrol gia tatu zinafunguka balaa ingawa za zamani sasa hivi huwezi kuzipata.
hii ya chini ndio niliojifunzia udereva lilikuwepo hom haya magari hayana pawastering yaani na breki ya hili gari letu ilikuwa ya kubangaiza.ni shida napenda sana hizi gari
Mpya kabisaaa kutoka kiwandani ni sh ngapi mkuu?Hiyo ni kama 950000Km ya mileage mzee,,,,,nimepiga hesabu Bei ya kununulia ni kama milion 28 + million 14 za kodi, jumla ni kama 42M tshs.
Google mzeeMpya kabisaaa kutoka kiwandani ni sh ngapi mkuu?
Ya Diesel its economical while ya petrol ni for performance""Mambio a.k.a inawahi kuchanganyia.Utofauti wa yenye kutumia diesel na petrol ni nini kwa hizi mashine?
Kweli mkuu mtu unakuta kavimba kwenye kigari kinachoishia magotini tuNimecheka saana man,,,,,,,kiukweli kama uwezo unakuwepo....haya ndiyo magari yenye uwakika saana hasa katika shughuri zetu kiafrika....
Siyo ukorofi ni reality mkuuAiseee we jamaa no mkorofi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Utofauti wa yenye kutumia diesel na petrol ni nini kwa hizi mashine?
Photo ilikuwa zamani mkuu, diesel za siku hizi zina offer the best of both worlds , ukitaka mbio imo, ukitaka performance pia IPO ,Na yet ni, economical,Ya Diesel its economical while ya petrol ni for performance""Mambio a.k.a inawahi kuchanganyia.
Sorry typing errors , nilimaanisha hiyo ,not photoPhoto ilikuwa zamani mkuu, diesel za siku hizi zina offer the best of both worlds , ukitaka mbio imo, ukitaka performance pia IPO ,Na yet ni, economical,
Hapana mkuu,though modern cars za diesel wanajitahd kuimprove lkn bado purpose ya diesel ni kua more economical zaidi rather than performance.Photo ilikuwa zamani mkuu, diesel za siku hizi zina offer the best of both worlds , ukitaka mbio imo, ukitaka performance pia IPO ,Na yet ni, economical,
Lkn pia service ya gari ya diesel ni expensive kidogo compared to gari ya petrol.Utofauti wa yenye kutumia diesel na petrol ni nini kwa hizi mashine?
Nakodi hapo au kodi inakuwa bado?View attachment 675510
Kwa mazingira ya Tanzania na vipato vyetu tutumie aina hii kwenye shughuri zetu za miradi ya masafa marefu Mil.70 tu za kitanzania
Mpya au used?View attachment 675510
Kwa mazingira ya Tanzania na vipato vyetu tutumie aina hii... Mil.70 tu za kitanzania
View attachment 675510
Kwa mazingira ya Tanzania na vipato vyetu tutumie aina hii kwenye shughuri zetu za miradi ya masafa marefu Mil.70 tu za kitanzania
Ingia trade caview, utaziona zipo.Gari ninayoahangaika kuipata ni land rover defender tdi itanifaa sana kwa safari zangu za porini.
befoward hizi gari hawana kbs