Lango la kuzimu Selander Bridge

Kuna watu wanatafutwa wapigww humu πŸ€”

Anyway, huo ni UKWELI, ila solution ndio sio sahihi,

Jicho la paka lafaa nini kulinganishwa na Macho ya Rohoni atupayo Roho MTAKATIFU?

Wote tuseme, aamin!!
 
pale kuna maajabu pale muda wa mchana sikumbuki wakati sahihi ukipita pale kwa miguu mwili lazima usisimke!
 
Kutoka Tanzanite hadi Salender kuna kina kirefu ni chai,huo mbali mara nyingi maji huondoka na pakabaki pakavu na kina kifupi sana
 
Kutoka Tanzanite hadi Salender kuna kina kirefu ni chai,huo mbali mara nyingi maji huondoka na pakabaki pakavu na kina kifupi sana
Pale tulikuwa tunatembea maji yakipwa tulivyokuwa wadogo.

Siku moja tukajisahau maji yakaanza kujaa, tukarudi mbio.
 
Hapana, siyo lango la kuzimu.

Hiyo ni njia ya kuelekea jiji la majinni ya bahari.

Hapo kiasili paitwa "maji mshindo".

Sehemu zote zinapokutana mto na bahari ni lango la kwenda kwenye miji ya majinni ya bahari, kwa wenye kuelewa.
 
Na kabla ya kuasi alikua malaika wa mbingu ya tano...hii ni kwa mujibu wa kitabu cha Enoch
Uongo huu. Hakuna kitu kama hiko kilichoandikwa kwenye book of enoch. Tuwekee page toka kwenye kitabu cha the book of enoch kueleza alikuwa malaika wa mbingu ya Tano.
 
Uongo huu. Hakuna kitu kama hiko kilichoandikwa kwenye book of enoch. Tuwekee page toka kwenye kitabu cha the book of enoch kueleza alikuwa malaika wa mbingu ya Tano.
Samael hajatajwa waziwazi katika Kitabu cha Henoko.

Uhusiano na Walinzi au watu wengine katika Kitabu cha Henoko hutokana zaidi na mapokeo ya kufasiri na miunganisho ya maandishi ya baadaye badala ya marejeleo ya moja kwa moja ndani ya maandishi ya Enokia yenyewe
 
eneo lile la salenda hata kabla daraja halijajengwa palikuwa panajulikana kuwa ni point wachawi wanaingilia kwenda ulimwengu wa chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…