Herymiller
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 613
- 860
Bei maelewano njoo PM coz ni spareUkikumbuka kuweka bei utanishtua
Njoo pm mkuuu tuyajengeKuna 50k apa
We kama upo tayar niletee mzigo ili nitest vifaa fresh... Inaweza kuwa hakuna kizima apoNjoo pm mkuuu tuyajenge
Unapatikana wapi bossiWe kama upo tayar niletee mzigo ili nitest vifaa fresh... Inaweza kuwa hakuna kizima apo
Nimekucheck inboxUnapatikana wapi bossi
Tusiongeleee maneno mingi
Poa chifNimekucheck inbox
Hard disk kula 60k mkuuNime kucheki whats app mkuuu
1TB mkuuHard disk kula 60k mkuu
Chukua hiyo njoo makumbusho fasta nikupe hiyo 60k1TB mkuu
Mkuuu 60k pesa mingi ana ila naitumia hiyo hdd kama chambo ni uze full kitChukua hiyo njoo makumbusho fasta nikupe hiyo 60k
Poa mkuu ukifikiria vizuri utaniambia nikuongezee na 5k iwe 65kMkuuu 60k pesa mingi ana ila naitumia hiyo hdd kama chambo ni uze full kit