mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Kwa nini wasema hivyo ndugu? Ni core i3 hiyo.Sabato imekwisha mkuu.
Ingekuwa icore kuanzia 3 ningekupa mteja ila hiyo labda wanachuo.
320000Mkuu hebu tia nyama kwenye tangazo lako. Mbona unaweka taarifa nusu nusu?
Weka bei, picha na angalau ni gen ya ngapi?
Regards
Hukuandika.Kwa nini wasema hivyo ndugu? Ni core i3 hiyo.