mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Wakuu nauza Laptop yangu Hp Probook.
-kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue nyingine kubwa zaidi yake pia.
-inafaa kama unatumia kwa stationary, kwa mwanafunzi wa chuo maana mimi nimeitumia nikiwa nakomaa na chuo pia.
-nipo Arusha, ndio rahisi zaidi kukutana ukague kabisa. Ni PM tu tupeane mawasiliano ikiwa unaihitaji.
-Bei 290,000/=View attachment 2789465View attachment 2789466View attachment 2789468View attachment 2789467
-kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue nyingine kubwa zaidi yake pia.
-inafaa kama unatumia kwa stationary, kwa mwanafunzi wa chuo maana mimi nimeitumia nikiwa nakomaa na chuo pia.
-nipo Arusha, ndio rahisi zaidi kukutana ukague kabisa. Ni PM tu tupeane mawasiliano ikiwa unaihitaji.
-Bei 290,000/=View attachment 2789465View attachment 2789466View attachment 2789468View attachment 2789467