mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
ww upo kundi gani hapoWanakuja wanunuzi na wachafuzi wa biashara jipange
Mtoa taarifa tuww upo kundi gani hapo
Inafahamika mkuu, wote tunaishi nao tu, hakuna namna.Wanakuja wanunuzi na wachafuzi wa biashara jipange
Specifications ninazozifahamu nimeweka picha zake. Mimi sio mtaalamu sana wa pc pia. Matumizi yangu sio mengi sana na pc.Sasa mkuu mbona huweki specifications za hiyo pc au hadi uulizwe? Ukitangaza biashara weka taarifa zote muhimu ili kuondoa usumbufu.
Ok kwangu hazifunguki. Natamani kufahamu kuhusu processor yake nia aina gani na gen ya ngapi.Specifications ninazozifahamu nimeweka picha zake. Mimi sio mtaalamu sana wa pc pia. Matumizi yangu sio mengi sana na pc.
Ni ndogo tu.Ok kwangu hazifunguki. Natamani kufahamu kuhusu processor yake nia aina gani na gen ya ngapi.