Computer4Sale Laptop Mediam Acer V5

Hili tangazo limekaa kuhuni huni. ''!! Et inapiga mzigo hadi unasikia kizunguzungu duh !!
Ila uzuri umesema inafaa kwa matumizi ya akina dada sisi wanaume tukae pembeni tu.
 
Hehehe.. karibu sana mkuu. hakuana laptop inayouzwa dukani.. kwa jinsia. Ni lugha za kibiashara tu iliotumika.
Kwa hiyo picha inavutia sana, ongeza picha hapa tuone tutafikia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…