Computer4Sale Laptop toka USA zinauzwa

Computer4Sale Laptop toka USA zinauzwa

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Lenovo X 130 Hdd 320gb, ram 4gb, battery 3 hours, price: tzs 350,000 ya wiki hii kabla ya wikiend. Tuko Kariakoo jirani na China plaza

piga 0713039875 kuwahi ofa hii

WhatsApp Image 2021-01-13 at 11.07.19.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-13 at 11.07.24 (1).jpeg
WhatsApp Image 2021-01-13 at 11.07.24.jpeg
 
Unajiita doctor ila unashindwa kuweka specifications za pc unazouza hapa!Nenda my computer then properties halafu screenshot na uwekeke hizo specifications za CPU hapa
Hdd 320gb, ram 4gb, core 2 duo. Hizi specifications nimeweka huko juu, tazama vizuri mkuu
 
Hdd 320gb,ram 4gb,core 2 duo. Hizi specifications nimeweka huko juu,tazama vizuri mkuu
Kuna mwenzenu anauza Corei7 8GB 500GB for the same price. Ndio maana nikauliza hii bei ni kwa sababu ya neno USA au?
 
Acha mzaha!Nataka nijue family group ya CPU,generation ya CPU pamoja na clock speed.Vyote hivi hujawek
Hapa naweka specification muhimu tu na namba ya simu, ndio matangazo kimataifa yalivyo, fuatilia
 
Mkuu achana na wanaokukatisha tamaa. Hiyo MAC bei ya kuchukua sh.ngapi?
 
Tupe tofauti ya hizo terms mbili kwa sisi ngumbalo katika mambo haya.
Nilitaka kutia neno, nikaona hii biashara, nisije kuharibu biashara ya mtu.

Lakini kwa kuwa umeniuliza, mimi sina tabia ya kukimbia swali na sitaweza kuanza leo.

Hizi computer kwa miaka mingi zilikuwa zinatumia Hard Disk Drive. Hizi zinazunguka, kuzunguka huku kunasababisha ziwe na kelele, ziwe zinakula umeme sana na zinapata joto sana.Pia ziko slow, kwa sababu data inatafutwa katika disc inayozunguka.

Miaka ya karibuni, kukaja letwa teknolojia mpya ya SSD (Solid State Drive). Hizi hazizunguki, ziko faster kuliko HDD, zinatumia umeme vizuri zaidi, hazipati joto sana. Tatizo moja ni capacity, si rahisi kukuta SSD kubwa kwa bei nzuri.

Hizo sizes za GB 300- 500 kwa sasa laptop mpya nyingi ni SSD. Ndiyo maana nikaona niulize, hizo laptop storage uliyoweka hapo ni SSD au HDD?

Watu wengi washazoea "HDD", kwa hiyo mpaka SSD wanaweza kuziita HDD.

Kama unataka laptop fast, isiyotumia betri sana, isiyo na kelele, isiyoshika joto sana, na itakayoacha data zako salama kutoka nguvu za usumaku, kwa sasa hivi ni vizuri kununua yenye SSD, siyo HDD. Au unaweza kununua yenye HDD ukabadili na kuweka SSD kama mautundu hayo unayo au unajua mtu anayeweza kukufanyia hivyo.

Kama unataka kusoma zaidi in detail, kuna mtu kaandika kuchambua tofauti za SSD na HDD kitaalamu zaidi hapa.
 
Back
Top Bottom