Computer4Sale Laptop ya hp inauzwa

Computer4Sale Laptop ya hp inauzwa

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habari wanajukwaa. Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nauza PC ya Aina ya hp. Ni ya kwangu niliinunua dukani sema receipt nime replace. Ukiihitaji tutaandikiana kwa mwenyeketi wa mtaa ama polisi uwe na amani.

Ina materials Kama yote na programs na softwares za Civil Engineering. Haina movie labda na miziki kidogo ya nje kama wewe Ni mpenzi.

Naomba nisielelezee Sana niweke hapa picha zake zitajibu maswali kuwa Ni aina gani ya pc specs zake.
Niko mwanza kwa saivi.

Bei yake Ni 1.3M TZS.

IMG_20220830_122243_439.jpg
IMG_20220830_122254_551.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220830_122306_817.jpg
    IMG_20220830_122306_817.jpg
    189.3 KB · Views: 18
  • IMG_20220830_122331_566.jpg
    IMG_20220830_122331_566.jpg
    365.3 KB · Views: 19
  • IMG_20220830_130439_494.jpg
    IMG_20220830_130439_494.jpg
    759 KB · Views: 18
  • IMG_20220830_123951_132.jpg
    IMG_20220830_123951_132.jpg
    57.1 KB · Views: 18
  • IMG_20220830_144043_153.jpg
    IMG_20220830_144043_153.jpg
    373.5 KB · Views: 16
Nina uhitaji wa hio kitu ila kwa ss sipo vizur na bado bei upo juu sana
 
Habari wanajukwaa. Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nauza PC ya Aina ya hp. Ni ya kwangu niliinunua dukani sema receipt nime replace. Ukiihitaji tutaandikiana kwa mwenyeketi wa mtaa ama polisi uwe na amani.
Ina materials Kama yote na programs na softwares za Civil Engineering. Haina movie labda na miziki kidogo ya nje kama wewe Ni mpenzi.
Naomba nisielelezee Sana niweke hapa picha zake zitajibu maswali kuwa Ni aina gani ya pc specs zake.
Niko mwanza kwa saivi.
Bei yake Ni 1.3M TZS.
View attachment 2340219View attachment 2340220
Ina software gani ya civil Engineering

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru kwa wazo zuri sijasema kuwa nauza na apps sema nimejaribu kuelezea na kilichopo Ila nauza na PC.kama huzitaki tukifanya biashara tutazifuta. Bei yake Ni iyo niliyoweka hapo juu mkuu. Ivyo Bei Ni iyo iyo iwe ama isiwe na softwares or apps za Civil
Unauza PC au apps za civil engineering?

Futa apps then tutajie bei
 
Haina shida mkuu, nadhani utapata tu usihofie kitu. Utapata nzuri zaidi na Bei poa kabisa ambayo it satisfy your instincts so be free.
Nina uhitaji wa hio kitu ila kwa ss sipo vizur na bado bei upo juu sana
 
Back
Top Bottom