Laptop yangu haichaji betri

bishoke

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2010
Posts
274
Reaction score
52
Wakubwa nina tatizo na laptop yangu hp kuto kuchaji betrii. Nili consult watu wakaniambia kuwa yaweza kuwa betri mbovu. Nimenunua betri mpya lakini tatizo halikumalizika.

Mwenye msaada anisaidie kabla sijawapelekea mafundi kuitengeneza au kuiharibu zaidi.
Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…