Tetesi: Laptop yenye sifa hizi inastahili kuitwa “GAMING PC”

Tetesi: Laptop yenye sifa hizi inastahili kuitwa “GAMING PC”

fuu xkuz

Senior Member
Joined
Feb 5, 2016
Posts
156
Reaction score
208
Wakubwa poleni na majukumu ya kutafuta riziki, naomba kujua kwa wataalamu wa mambo ya kompyuta,je? Laptop yenye spesification hizi inafaa(inaweza) kucheza magemu heavy na kufanya kazi kubwa zinazolenga kufanywa na vyombo kama hiki? _inter(R) core TM i7-7500u CPU@ 2.70 Ghz. -RAM 8GB, HDD 1TB, GRAPHIC 4GB. Natanguliza shukrani kwa wote watakao toa mawazo yao ya kitaalamu katika hili.....Ahsanteni sana.
 
Ndio ni latest genertion ya 7 hiyo afu graphic kubwa kidogo japo sijajua ni graphc ya kampuni gan ongeza ram ifike japo 16 gb. Iko vizur
 
Daah kuna pc nilibuy specs zinaonyesha ina nvidia graphics bt nikinstall drivers haiwi detected what's wrong with this device.... Inter core i7 ram ilikuwa 8gb nimeupgrade to 10 gb bt invidia graphics ndy zinazingua maana hata kwenye updates zinakuja ila hazifanyi kazi after installations
 
Daah kuna pc nilibuy specs zinaonyesha ina nvidia graphics bt nikinstall drivers haiwi detected what's wrong with this device.... Inter core i7 ram ilikuwa 8gb nimeupgrade to 10 gb bt invidia graphics ndy zinazingua maana hata kwenye updates zinakuja ila hazifanyi kazi after installations

Kama bado unayo nipe model yake hiyo pc ili nikupe na solution kabisa hapa hapa. Ila lazma niijue ni pc gan mana umetaja core i7 tu so haitoshi kipewa msaada
 
Daah kuna pc nilibuy specs zinaonyesha ina nvidia graphics bt nikinstall drivers haiwi detected what's wrong with this device.... Inter core i7 ram ilikuwa 8gb nimeupgrade to 10 gb bt invidia graphics ndy zinazingua maana hata kwenye updates zinakuja ila hazifanyi kazi after installations
Windows unayotumia ipo compatible na version unionayo ya hizo driver za hiyo GPU?
i.e Nilikua na desktop moja ivi i3 with hd graphics 2000 but driver zilikua hazisupport windows Ten so ilikua inazingua kinoma mpaka nikapiga windows 8.1,
so jaribu kucheki compatibility ya driver hizo na windows unayotumia
 
Back
Top Bottom