nshapata mkuu.Nicheck kwa namba yangu
Ipi namba yako nami nahitaji lapropNicheck kwa namba yangu
Used?Laptop laptop laptop nauza
Acer aspire 8730G hdd 250gb ram 3gb processor core2 duo 18.4" display kwa wacheza game ina nvidia speed 2ghz betri nayo nzima..bei 280,000 maongezi yapo.
Hp mini 110-3130NR processor atom 1.3ghz hdd 150gb ram 1gb betri ya kubadirisha bei 210,000. Maongezi yapo.
DM:0713218388.
Atakua Dar hyuUpo mkoa gani
Hizi laprop ni toleo jipya nn?Ipi namba yako nami nahitaji laprop
Njoo nikupatienataka HP mkuu,core i3 yenye 4gb ram,pia 2.3hz na disk 250 hadi 500gb kwa laki 4 ivi naeza pata?
tayari shapata mkuu,thanksNjoo nikupatie
Veri gudtayari shapata mkuu,thanks
Ninayo mkuu, ina miezi 6 tu nilinunua mpya fanya 600000 nijupatie na risiti yake, bado ina waranty wa miezi 6 mi nilinunua 860000 dukani.nataka HP mkuu,core i3 yenye 4gb ram,pia 2.3hz na disk 250 hadi 500gb kwa laki 4 ivi naeza pata?
lakini so umeelewa. typing error izo mkuuHizi laprop ni toleo jipya nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama haujapata ninayo nitafte nikuuzie ni pm namba yako Ntakutaftanataka HP mkuu,core i3 yenye 4gb ram,pia 2.3hz na disk 250 hadi 500gb kwa laki 4 ivi naeza pata?
nmepata mkuu,thanksKama haujapata ninayo nitafte nikuuzie ni pm namba yako Ntakutafta