Laptop

MATESLAA

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
1,246
Reaction score
75
habari zenu wana JF

nimesoma kwenye gazeti yakwamba laptop humaliza nguvu za kiume hasa pale unapotumia internet [ ukiipakata kwenye mapaja ]
swali langu ni hii::

hawa dada zetu wanavyo zipakata nao wako hatarini kuadhilika kama sisi wanaume NB kupoteza nguvu za kike ect
 
Ukitumia laptop kwenye mapaja joto lake linasababisha kupanda kwa kiwango cha joto kwenye makende; na joto likipanda kwenye makende linapunguza kiwango cha mbegu za kiume zinazotengenezwa.

Kwahio sio swala la nguvu za kiume, bali ni utengenezaji wa mbegu za kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…