Kiti cha Mbele kabisa... Grass is always greener on the other side. I love you lara, nina iPhone x yako hapa.
Haleluya!!Mungu alisema mpendane ILA SIO MPEANE PAPUCHI BUREEEE
Je na maza ako anafanya mapenzi kibiashara kwa mdingi wako!
Je kwa kufanya uko biashara una Mali kiasi gn!
Huwa unatuma hela za matumizi kwa wazazi wako! Na wanajua unazipataje?
Ndugu yko akiwa na mahela, utampa papuchi?
Naingia kazi ya ulinzi naacha swali
Hv ashapata kazi tangu amalize chuo.....?.je baada ya kumaliza chuo anaonaje maisha nje ya chuoo..? maana alikua anakashifu sana vyuo vilivyobatizwa vyuo vya kata...
Swala la jira vip linabagua vyuoo??
Pamoja sana team UDSM
Maza wangu ni zaidi ya biasharaaaa, sababu kwanza maza wangu anafanya kazi serikalini, ila mpaka chumvi ananunuliwa na mdingiiii..
Mali kubwa za kina bakhresaaa na Manji, vidogo tu kuzurura duniani kila kukicha, kula nachotaka, kuendesha, mijengo, cash bank, kwenda anakotaka mda naotaka havinipi chenga kwa kweliii hata pesa ya kufuga mabwana hata wa 5 kama ingekuwa ndo michezo yangu nanoyooo ya kutoshaaa. I can say i am financially independent simtegemei mtu hata mzaziii.
Na ieleweke i am one mazafacking hustlerrrrr kimndumnduku sitegemi papa tu kuendesha maishaaa. Nina vyanzo kibaooo. Kwanza shule nimeenda, magamba ninayo, ila pia na hustle kimjini mjini si mnajua mie mtoto wa Kino clain. Njia njia hizi za kimjini mjini napita sanaaa.
Wazazi wangu wanafanya kazi tena senior positions hawanitegemei mimi hata kidogo. Kwetu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Namshukuru Mungu kwa hilo, kutegemeana haimooo kabisaaaaa. Sema wakihitaji msaada mkubwa nawapa. Wakiomba pesa tunaongelea million kadhaaa maana kumsaidia mtu anaejiweza haombi msaada mdogo hata siku moja. Wanajua nafanya biasharaaa, nimefanya sanaa kazi zaidi ya miaka mi 5, so wanajua pesa sikosi labda niwanyime.
Ndugu zangu hamna mwenye hela ya kunipaaa nimpe papuchi, wote tuna pesa za mboga na wengi wapiga free pumbu tu.
aya mamaKazi mimi Marshallah nimepata pataaaa, nishafanya kazi kama 5 sijui 6 na inaishia kuachaaa sababu maisha ya kupeana laki 8 sio kabisaaa. Mimi na mipango mikubwaaa , na ni mtu wa matumizi makubwaaa.
Baada ya kumaliza chuo nashukuru Mungu kwa kweli sababu mimi sikwenda chuo kutimiza wajibu au kupata vyeti NIME ELIMIKA, na nashukuru nimefanya masters ya INTERNATIONA BUSINESS, CPA, BCOM corporate finance, zinanisadiaaa sanaaa sanaa kwenye kuuza ronyaaa. Hizi global market nazila viboga mchana kweupeee. Na apply education yangu. Katika marketing na jinsi navoendesha busniess yangu.
Pia ni consaltant so i am still making good money from Academic world. Kwa jinsi nilivo mtoto wa mjini maisha kunila Tako bado sanaaaaaa.
Soko linabagua KI MAKU MAKU vyuoooo. Tena sahii hata UDSM yenyewe haifui dafu. WANATAKA GRADUATES WA UK, USA, INDIA, CHINA, RUSSIA. Hivo yaani. Wanataka global degrees. Wakimtangazia dau mjinga aliesoma huko wanaropoka gross 7m, nenda wewe na degree yako ya Tumaini Iringa wanakula kiboga cha laki 8 gross tena bank kubwa kama CRDB mamaeeeeeeee. Aaaaaaaaaahhhh! Bora niuze ronyaaa kwa nguvu mwanangu afe kipa afe beki lazimaaaaa UK imuhusuuu collage.
sawa mkuuKesho hii
Jaman ndo naona sasa ivi, hii enterview nimeona jina tu meno yote 32 nje
Woyooo mama la mama katika ubora wake, love mingi mingi kwakoAsante sanaaa, ndugu Host niko standby
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe umesema utamuhoji next week so tuachie tumuhoji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makofi tafadhaliShort history yangu ni kwamba napenda pesa, napenda mambo makubwa, sijibaniiii, napenda raha. Adui namba moja wa Free Pumbu. Sina mengi sanaaaa kama unga wa ngano. Ni hayo tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mahusiano toka darasa 2, nilianza kuchuna sukari guru kwa ubuyu, peremende, kwa wanafunzi wenzangu heheheeee. Uzuri wahenga wa enzi hizo walikuwa watu wazuriii.
Sex nilikuwa naiogopa sanaaa, maana zamani mashoga zangu akijaribu tu mtu, kitu kimenasaaa, afu maisha yanamuharibikiaaa kishenzi na mie nisivopenda shida sasa. Mmmmmh! Na maza ashasema hafui mai ya mtu, ukipata mimba kijijini kwa bibi, daaaaah na anasema nimewalea vibaya shida hamuweziii, maisha ya dhiki hamuwezi kila kitu mamaaa, maamaaa, mamaaa mpaka mshaota minywele bado mamaaaa mamaaaaaa, na mpate wanaume wenye pesaaaa, bila hivo itakula kwenuuuuu. Mtaadhirikia
Swali alishawawahi kupiga mzinga....??? Unapopiga zinga ukachomolewa unajisikiaje Je anaifahanu shuntama alishawahi kuitumia how come kwa aliyepigwa kipapai iko bado wapo nae.....????
Na amekomaa na mama yake hatari, kuna watu ukiongelea angle inayomgusa anakimbilia kutusi wazazi. Ila muulizaji simshangai, kawaida yake.lara 1 umemjibu kwa ustaarabu wa hali ya juu huyu mdau ingawa aliuliza swali la kumtusi mama mzazi. Mungu akubariki sana. Ila watu waache mambo ya kuwagusa wazazi wetu kwa matusi na kashfa.
Na amekomaa na mama yake hatari, kuna watu ukiongelea angle inayomgusa anakimbilia kutusi wazazi. Ila muulizaji simshangai, kawaida yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jaman me leo ninarahaaaMimi CHAMA KUBWA. Sio kwamba najisifiaaaa, hataaaaa! Nimeenda China ndo kama second home, India, UAE, Oman, Ethiopia, Quatar, Thailand, Malasia, Russia na UK. Inshaalah mwakani natimba kwa Trump.
Mara ya kwanza kwenda club ni form 3, tena ilikuwa Billcanas na mashosti wangu
Napenda kutumia perfume ya Jadore au Channel NO 5. Spray natumiaga Vanilla ya buku 3 tu sina gharama wala nini.
Wazungu wa baridi afu hawatahiriw so sinaga mzuka nao.
Mwanaume pumbu mimi hapanaaaaaa. Kugawana umasikini nawaachia wenzangu. nAKABA MPAKA jf NIMEPATA WANAUME WENYE PESA.
Naitamani Marekani babaaa, MAREKANI.
Kinywaji nachopendelea Redds tu ya 2500 mpaka 200 uswahili kwetu kitongaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaa! Usitake nije bila chupiiii kisa hio I phone X. Hatari kabisaaaa