Sasa mimi niliishia la 7 kuniita form four si kunipaisha.Hilo la form four limekuuma sana sio? Basi mlengwa mmoja huyu, orodha itaendelea.
Sasa mimi niliishia la 7 kuniita form four si kunipaisha.
Mtafute lara unakomtafuta ukimaliza ulete orodha na vyeti vya orodha.[/QUOTE
Aiseee
na kweli ni hayo tuLara 1 sijui ndo mange kimambi sema lara 1 yupo smart sio kama mange kimambi huwa analishwa data ila kichwani mwake yeye kuna mitusi tu
Hadi hapo tu na wewe ni form four mwenzaoLara 1 please mama popote ulipo, i miss you so much... fanya kurudi mamii... tangu uondoke form four wengi wamejazana na kuliteka jukwaa... stori za kusadikika na kujikweza zimezidi mbaya zaidi hazivutii kabisa... fanya kurudi utupe Uhuni mpya wa masista du wa dar.
Mkuu ni Ushauri tuuu ungejiita Mme wetu....Huu Uzi umeandika ukiwa umepakatwa sio?
Kweli mkuu hata mie nimemiss Lara 1.Lara 1 please mama popote ulipo, i miss you so much... fanya kurudi mamii... tangu uondoke form four wengi wamejazana na kuliteka jukwaa... stori za kusadikika na kujikweza zimezidi mbaya zaidi hazivutii kabisa... fanya kurudi utupe Uhuni mpya wa masista du wa dar.