Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% true but its both East and Central AfricaKeeping the record as Wet n Wild is largest right now in EA
Chakwanza hiyo hoteli gari inafika hadi reception.Hakoseagi huyu mtu, Akitoka huko aende Dom kuna upungufu wa sehemu za kujiachia.
Ebanaee.. Zanzibar is on fire, kuna ule mradi mkubwa wa hotels, airport, golf course na ma apartments umefikia wapi. Inapo elekea Mombasa itakua inashindana na Kilwa KivinjeChakwanza hiyo hoteli gari inafika hadi reception.
Pia amehaidi akimaliza ujenzi wa miradi yake miwili anaanza kujenga sky scrapers nayuko na mpango wakujenga sky scraper majini kama Dubai
Sikweli. Two heads are better than oneBila fitna za muungano zanzibar ingekuwa mbali sana ki maendeleo
Tajili kwenye siasa huwa akubaliki kwenye siasa za TZ. Ukiingia jua ndomwanzo wako wakufilisika. MoDewji aliingia baadae ilibidi akimbie hukoBakhresa ana bidii sana jamaa, hapa nampa hongera, pona yake hajajiingiza kwenye siasa siasa.
Sikweli. Two heads are better than one
SADC hakuna Zanzibar wala Tanganyika, kuna Tanzania tu # Pwani si KenyaHii Zanzibar kweli ipo muungano wa SADC?
#Zanzibar si TanzaniaSADC hakuna Zanzibar wala Tanganyika, kuna Tanzania tu # Pwani si Kenya
Alijiingiza, akaisaidia CUF, Mkapa akachoma ngano yote, meli mbili. Akili ikamkaa sawa. Baada ya hapo hataki kabisa kusikia siasaBakhresa ana bidii sana jamaa, hapa nampa hongera, pona yake hajajiingiza kwenye siasa siasa.
Bakhresa kapatia wapi utajiri wake? Kuanzia kuuza potato mix mpaka leo! Hivi unafikiri angekuwa Znz angefikia alipo?inategemea mkuu km icho kichwa kingine kinajifanya kipo na wewe kumbe kinakuhujumu kitakuwa na faida gn?
#zanzibar ni nyanya ako#Zanzibar si Tanzania