Last Week Lessons from Dubai and Geneva... are we learning anything?

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Dubai economic crisis due to heavy investment from external finance to elephant projects.

Riots in Geneva protesting against capitalism, WTO and free market economy (aka Utandawazi, Uwekezaji, Ubepari).

What have we Tanzanian learn from these events as we are hardly working on becoming self sufficient?
 


Mchungaji,

you want us to dance faster than the music!

Tanzania na nchi nyingine za dunia ya tatu..inabidi tupange priorities zetu kisawa sawa...hatuna uchumi huo wa kuwa exposed kwenye financial crisis za Dubai.

The truth is, leo tunasema kwamba financial crisis imetuaffect kwa sababu sana sana tutakosa misaada! Not otherwise.

Hivi kweli nchi ambayo bado watoto hawana uhakika wa kwenda shule, wale wanaokwenda hawana madawati wanakaa chini..tunakuwa na audacity ya kuongelea financial crisis ya Dubai na kwingineko?

Perhaps I am missing something some where..

Yours sincerely,

Masanja,
 

We are allowing each Tom, Dick and Harry to come and invest. we do not have home grown economy that is strong.

Mfano, SEKAB walikuja na kupewa ardhi wafanye BioFuel, lakini bei ya mafuta imeshuka, uchumi umedoda, sasa SEKAB wamechomoa wanarudi kwao!

Same thing will happen to Barrick na wengine hata Kilimo kwanza, kujenga uchumi kwa kutegemea wengine watutengezee mazingira hayo.

That is what Dubai did on about 60% of its economic boom, it was due to foreign investment mpaka watu kama Halliburton wakahamisha makao makuu kutoka Houston Texas na kuhamia Dubai!
 

Pigeon Stuffer 1. Crapitalism 0.


What went wrong the most? I'd say it was the attempt to build a modern city based on a medieval system. Also, thinking that Europeans would be prepared to fly to the Gulf instead of Spain in large numbers.
 
Kwa vichwa hivi vinavvyojua kazi ni kuamka asubuhi kwenda ofisini, kufanya lile litakalojitokeza atakapokuwa ofisini na kisha kurudi nyumbani hakuna lolote tunaweza kujifunza. Tunafanya mambo kwa mazoea na kulindana sana. I dont believe haya mambo ya wawekezaji ndio suluhu ya kujenga uchumi wetu.Lakini ndio hivyo bwana! Up there our leaders think that is the only way forward. Wanazunguka dunia yote kuwaita wale wanaowaita bila hata kujari ni kina nani! Kuna siku tunakuja kuchekwa baada ya kugundua tumejaza kina Dick Tom and Harry na comedy zao
 

This will definitely happen na hatuko mbali sana na hili anguko jamani inatia uchungu tena sana. Wewe kweli jamani mtu anafunga safari mpaka Jamaica na kuwaomba wawekezaji waje wawekeze Tanzania kweli?!!? Of all the countries jamani hata Jamaica? waje wafanye nini au walime ndizi? Au ndio waje wajenge bembea ili kusiwe na haja ya kulifuata mpaka Jamaica??! Siku si nyingi tutasikia wameenda kuwafuata wawekezaji Bangladesh na Malawi. Tanzania nakupenda lakini pole yako kubwa sana sasa.
 


2 issues:

1.SEKAB
Inaelekea uko nyuma kwenye news...

nimegoogle kuhusu huo mradi wa SEKAB nimepata hii:

http://www.wazalendonline.com/index...ugar-production&catid=1:latest-news&Itemid=50


by the look of things hii ni habari ya siku 2 zilizopita


2.DUBAI

What is never reported is that wealthy local residents never, never, never keep their own money in Dubai banks. The reasons are obvious - there are no assets to support the vast borrowings that have accumulated. i would not keep anything more than a tenner in a Dubai bank for this reason. If the situation is bad now it will only get far worse in 2010 when more loans fall due for repayment...who knows maybe inaweza ikawa ni opportunity kwetu sie wengine ambao tunataka kuoa wanawakew wa KiEmarati
 
GT,

I am not out of touch brother! SEKAB walikuja kulima miwa ya mafuta, sasa wanageuka wanasema wanalima miwa ya Sukari, wapi na wapi?

 
mnajifunzia DUBAI?!
nah!the hell place is so far....!mnaweza kugrasp kitu fulani hata hapa rwanda tu!the guys are running economically bwana!
 
mnajifunzia DUBAI?!
nah!the hell place is so far....!mnaweza kugrasp kitu fulani hata hapa rwanda tu!the guys are running economically bwana!

Geoff,

Je umesoma na kuelewa ,maana ya kusema somo kutoka Dubai?
 
Like GT points out, Dubai had no assets to support its extreme investments. Dubai produces less than 2-3% (= 80,000 barrels of oil/day) of UAE's daily production of oil, that is nothing. They can be bailed out by other emirates such as AbuDhabi and the problem will be gone. The problem is; other emirates wont pump money into a dark hole! Dubai is in deep doo doo!!

We cant compare ourselves to them, but the lesson is, we shouldnt jump into Elephant projects we can not support.

On a smaller scale, things like creating an artificial property bubble in Tanzania wont help. But then again, I think most people in TZ dont rely on mortgages to finance their property projects.

I think what will screw us the most is the reliance of importing finished foreign products and the lack of developing our own industries.

Reverend, kwani what drives our economy? Maana mimi huwa naona nchi kama yetu tunakwenda kwenda tu. Maybe that might help answer ur question.
 
Dubai will be fine, read my lips. Challenges associated with business cycles ni lazima ziwepo, lakini uchumi mzuri ni lazima uwe resilient na challenges hizo.
 
Nzoka,

The comparison with Dubai is not about real estate, but the influx of Foreign investment even though the likelyhood of Investors to stay in Dubai in comparison to Tanzania is that Dubai is more lucrative and it is modernised.

Tanzania is still on stoneage and there is no internal push to revolutionize local ownership or production wwhich may result to greater prospects.

We lack capital, we do not have plans and we are exremey dependent.

Even though Dubai is strong, but the fear out of investors on state of Dubai last week, it is not something to overlook if push come to shove in Tanzania.

Unfortunatelly, Tanzania has nothing to offer once all the elephants, lions, gold and uranium has vanished. we are bow trying to force and create any means and ways for anyone with money to come and "Invest" in Tanzania, while the environment is clogged up with bureaucracy, corruption and primitive infrustructure in addition to high nymber of unskilled labor.

So the lesson from Dubai is this, if investors confidence sways for a second, where will Dar Es Salaam have a Godfather like Abu Dhabi to the rescue?
 
Even in real estate. Tuko busy kuigeza Kigamboni another Dubai! Tunawaondoa wenyeji ili tuwajengee wageni maghorofa!

Amandla......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…