Lastly BROOKSIDE has no more in Tanzania 🚫

What abt you Kenyans selling to Zambia, uganda and Rwanda!?? Tanzania is just one country we still have other country surrounding Kenya !! Why Tanzania ??
 
Wakenya na UhuRuto mnajua mlivyoanza. Mlinunua Tanga Fresh mkaweka stock, huku mkijua kuwa Tanga Fresh huwa ni maziwa yasiyowekea dawa zozote, yaani ni pure milk, mka kaa nayo hadi mlipoona yamekaribia kuharibika mkayatoa kuelekea sokoni, then wakenya wakanunua, kila aliyenunua akakuta yameharibika, UhuRuto na serikali yake wakasema Watanzania wanaleta vitu vilivyo expire, ikabidi Tanga fresh ipigwe marufuku, oryx ikapigwa marufuku pia, mkawahonga baadhi ya watanzania ili Tz iwe soko lenu, ila this time mmepatikana!
 
Umeongea kama kondoo kumi.
 

Ukiandika, tulia kwanza halafu rudia kama mara tano usome ulichoandika, kihariri hadi kiwe na mantiki ndio uje uweke humu, vinginevyo utajaza server za watu bure....
 
We have a milk market in the middle East and West Africa that we barely satisfy. You're an idiot if you think losing the Tanzanian market will affect our production.
 
Mimi ni Mtanzania ila huu ni upuuzi sio jambo la kuchekelea kwa mwenye akili
Hii East Africa community ina maana gani kama hamuwezi integrate economically ?
Tanzania kwanza.Kenya nao wamefanya the same kwa Lato milk from Uganda

Trump anafanya hivyo kwa Uchumi wa USA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…