LATARA wamekuwa na vikwanzo visivyo na maana na zaidi ya yote ni kukwamisha maendelea,
Mfano: umeenda tala umewalipa wamekubali umeenda tala (tanapa) mumeshea kulipa dola mia tano wamekubali njoo sasa latra ,unaulizwa mambo mengi yasio na maana umewapa kadi ya gari unaulizwa tanapa unaulizwa tax clearance mbona kwingine wasikuulize namekuja kulipa mnachotaka nilipisheni Mimi niendele na biashara yangu vikwanzo mnatunyima vijana furusa.ajira hakuna na tunapo zitengeneza ajira mnatuwekea wakati mgumu kweli Tanzania ni shida