Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Dear All,
kama nilivyowaletea siku ambayo mwenyezi mungu aliamua kukichukua kiumbe chake mpenda watu CAPT GEORGE MAZULA ambae mpaka anafariki alikuwa CHIEF PILOT WA kampuni ya ndege ya tanzania..ATCL
kesho tar 1 aug anafikisha mwaka mmoja tangu alipotutoka gafula...bwana ametoa na bwana ametwaa...kutakuwa na ibada ya kumuombea marehemu MAZULA karibu na nyumbani kwake kanisa la ST MARTHA na kupata chai na kahawa pale uwanjani tulipomwaga marehemu...bwana ametoa na bwana ametwaa...jina la bwana libarikiwe
tutazidi kukumbuka upendo wako kujitoa kwako kwa wale wote waliokujia na shida mbali mbali....hakika raha ya millele akupee ee bwana na mwanga wa milele akuangazie upumzike kwa amani kroboi timu tutakukumbuka daima...
AMIN
POLEN SANA WAFIWA WOTE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI.....
R.I.P MAZULA
kama nilivyowaletea siku ambayo mwenyezi mungu aliamua kukichukua kiumbe chake mpenda watu CAPT GEORGE MAZULA ambae mpaka anafariki alikuwa CHIEF PILOT WA kampuni ya ndege ya tanzania..ATCL
kesho tar 1 aug anafikisha mwaka mmoja tangu alipotutoka gafula...bwana ametoa na bwana ametwaa...kutakuwa na ibada ya kumuombea marehemu MAZULA karibu na nyumbani kwake kanisa la ST MARTHA na kupata chai na kahawa pale uwanjani tulipomwaga marehemu...bwana ametoa na bwana ametwaa...jina la bwana libarikiwe
tutazidi kukumbuka upendo wako kujitoa kwako kwa wale wote waliokujia na shida mbali mbali....hakika raha ya millele akupee ee bwana na mwanga wa milele akuangazie upumzike kwa amani kroboi timu tutakukumbuka daima...
AMIN
POLEN SANA WAFIWA WOTE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI.....
R.I.P MAZULA