Latest CAF Club ranking,Simba SC yawa ya 20, Yanga 57

Maslahi!

Unaamini Simba kuna maslahi kuliko Tp Mazembe.You can't be serious

Siyo kila unachoambiwa kipo hivyo, learn to digest infos
Hivi unafikiri kwa sababu TP mazembe ni klabu kubwa ko wachezaji wote wanapewa maslahi sawa?
Unabisha wakt muusika amesema ameangalia maslahi.
Je unajua Ajibu walimuoffer sh ngapi
 
Mzoefu huyo anayesema amezoea ila mwanzo iliuma!!!
 
Simba itakuwa 17 bora maana naona kuna club zimefungana kwa rank hapo
 
Reactions: Tui
Hivi unafikiri kwa sababu TP mazembe ni klabu kubwa ko wachezaji wote wanapewa maslahi sawa?
Unabisha wakt muusika amesema ameangalia maslahi.
Je unajua Ajibu walimuoffer sh ngapi
Kwa hiyo wewe ukiambiwa na mhusika unameza hivyohivyo?

Na kichwa unafanyia kazi gani?

Wachezaji wa kibongo hawependi changamoto mpya,haya magazeti ya udaku yanawalemaza na kutokujitambua kisa uceleb uchwara.

Kila msimu Mazembe inauza wachezaji Belgium ambalo ni lango la kuingilia EPL.

Hata kwenye maslahi tu,Mazembe is far better than siyo Simba tu bali huu ukanda wote.
 
Kwa hiyo na wewe unaamini kila mchezaji wa tp mazembe analipwa vizuri kuliko kila mchezaji wa simba....kwamba ambokile kule tp mazembe analipwa vizuri kuliko kagere simba?????....kati ya mimi na wewe who is not serious????
Shida ya bongo uwezo wenu wa kuona ni mdogo mno.

Mchezaji mwenye vision ata-opt Mazembe hata akicheza bure kabisa kuliko kulipwa Simba.

Baada ya misimu miwili pekee tutaona Ambokile na Ajib watakuwa wapi.
 
Shida ya bongo uwezo wenu wa kuona ni mdogo mno.

Mchezaji mwenye vision ata-opt Mazembe hata akicheza bure kabisa kuliko kulipwa Simba.

Baada ya misimu miwili pekee tutaona Ambokile na Ajib watakuwa wapi.
Eti hata akicheza bure ata opt mazembe...unataka a opt mazembe kukufurahisha wewe familia yake utailisha wewe...kwa hiyo mtu aache kufuata maslahi mazuri ila unataka aende mazembe ili wewe ufurahi....alafu kwani kila anayeenda mazembe anatoboa???acheni wachezaji wafanye maamuzi kwa maslahi yao...washabiki kama mnaona anakosea anzeni nyinyi kucheza mpira muende huko mazembe
 
Nimefurahi tupo na Recretivo de Libolo,Nadhani unawakumbuka vizuri sana we Kilomoni fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ