TANZIA Latige Camara aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Hafla FC ya nchini Ghana afariki akiwa mazoezini kutokana na uchovu

TANZIA Latige Camara aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Hafla FC ya nchini Ghana afariki akiwa mazoezini kutokana na uchovu

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Mchezaji wa Klabu ya Soka ya Hafla FC ya nchini Guinea Latige Camara amefariki dunia leo asubuhi baada ya kudondoka uwanjani akiwa mazoezini.

Taarifa za awali kutokea nchini humo zinataja chanzo cha kifo chake kuwa ni uchovu unaotokana na jufanya mazoezi huku akiwa amefunga.

1618991894050.png
 
Back
Top Bottom